<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	xmlns:georss="http://www.georss.org/georss" xmlns:geo="http://www.w3.org/2003/01/geo/wgs84_pos#" xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/"
	>

<channel>
	<title>Kauli ya Mwanamke</title>
	<atom:link href="http://kauliyamwanamke.wordpress.com/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com</link>
	<description>Just another WordPress.com weblog</description>
	<lastBuildDate>Sat, 17 May 2008 07:22:29 +0000</lastBuildDate>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.com/</generator>
<cloud domain='kauliyamwanamke.wordpress.com' port='80' path='/?rsscloud=notify' registerProcedure='' protocol='http-post' />
<image>
		<url>http://s2.wp.com/i/buttonw-com.png</url>
		<title>Kauli ya Mwanamke</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com</link>
	</image>
	<atom:link rel="search" type="application/opensearchdescription+xml" href="http://kauliyamwanamke.wordpress.com/osd.xml" title="Kauli ya Mwanamke" />
	<atom:link rel='hub' href='http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?pushpress=hub'/>
		<item>
		<title>Ahueni ya jeshi la polisi</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/ahueni-ya-jeshi-la-polisi/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/ahueni-ya-jeshi-la-polisi/#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 17 May 2008 07:19:33 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=20</guid>
		<description><![CDATA[Na.Hilder Mwaipopo   Wizara ya mambo ya ndani ya nchi, imezindua utaratibu mpya wa kusafirisha mahabusu kutoka magerezani kwenda mahakamani ambapo hapo awali ilikuwa ikifanywa na jeshi la polisi.   Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vy habari  na  wizara ya habari,utamaduni na michezo,imeeleza kuwa Kamishna wa Jeshi la Magereza nchini,AUGUSTINO NANYARO amesema kuwa uzinduzi wa utaratibu [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=20&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Na.Hilder Mwaipopo</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"> </p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Wizara ya mambo ya ndani ya nchi, imezindua utaratibu mpya wa kusafirisha mahabusu kutoka magerezani kwenda mahakamani ambapo hapo awali ilikuwa ikifanywa na jeshi la polisi.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> <span id="more-20"></span></span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vy habari<span>  </span>na<span>  </span>wizara ya habari,utamaduni na michezo,imeeleza kuwa Kamishna wa Jeshi la Magereza nchini,AUGUSTINO NANYARO amesema kuwa uzinduzi wa utaratibu huo unatarajiwa kuzinduliwa leo na Waziri wa mambo ya ndani ya nchi,Mheshimiwa<span>  </span>Lawrence Masha.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"><span> </span></span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Bwana Nanyaro amesema kuwa maandalizi ya mpango huo yalianza katika kipindi cha Bajeti ya serikali cha 2006/07 na mpaka sasa yamekamilika na tayari yameshagawanywa katika awamu mbili ya muda mrefu na muda mfupi.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Katika kutekeleza mpango wa muda mfupi utaigharimu<span>  </span>serikali kiasi cha shilingi bilioni 18,ambapo kiasi cha shilingi bilioni mbili tayari kimeshatolewa kwa ajili ya maandalizi ya kwanza kama majaribio kwa kipindi cha miaka mitatu.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Bwana NANYARO amesema kuwa kiasi cha fedha hizo zimeshatumika kwa ajili ya kutoa mafunzo maalumu KWA askari magereza 270,kununua vifaa ikiwa ni pamoja na magari 14 pamoja na ujenzi w.a makazi ya muda ya askari magereza 120 waliohamia mkoani Dar es salaam kwa lengo la kutekeleza mpango huo.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Kwa kuanzia tayari serikali imezichaguwa mahakama za ngazi zote za mkoa wa Dar es salaam, na kisarawe mkoa wa PWANI,pamoja na zile ambazo mahabusu wake huhifadhiwa katika magereza ya Dar es salaam yakiwemo KEKO,UKONGA na SEGEREA.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/20/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=20&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/ahueni-ya-jeshi-la-polisi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>SIKU YA FAMILIA DUNIANI MATATIZO KAMA CHANGAMOTOYANAYOTUKABIRI</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/siku-ya-familia-duniani-matatizo-kama-changamotoyanayotukabiri/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/siku-ya-familia-duniani-matatizo-kama-changamotoyanayotukabiri/#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 17 May 2008 07:15:42 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=19</guid>
		<description><![CDATA[Na. Hilder Mwaipopo Ni ukweli kwamba Tanzania tunaungana na mataifa mengine duniani kusheherekea siku ya familia duniani lakini jambo la kujiuliza ni kwamba tunapashwa kuisheherekea siku hii ama tugelichukua hatua madhubuti ili tuweze kujipanga kwa upya na kuangalia ni kitu gani hashwa kinacho tukabili na kukitatua ikifuatiwa na migongano mbalimbali hapa nchini.   Tumekwisha kushuhudia [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=19&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Na. Hilder Mwaipopo</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Ni ukweli kwamba Tanzania tunaungana na mataifa mengine duniani kusheherekea siku ya familia duniani lakini jambo la kujiuliza ni kwamba tunapashwa kuisheherekea siku hii ama tugelichukua hatua madhubuti ili tuweze kujipanga kwa upya na kuangalia ni kitu gani hashwa kinacho tukabili na kukitatua ikifuatiwa na migongano mbalimbali hapa nchini.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> <span id="more-19"></span></span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Tumekwisha kushuhudia akina mama<span>  </span>wajawazito wakijifungulia mabarabarani ama wengine kufikishwa hospitalini na kukosa huduma muhimu na kupelekea kujifungua watoto wakiwa wafu, ama tatizo la akina baba kutelekea familia zao ikiwa ni sambamba na akina mama kuwatupa watoto.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Matatizo ni mengi kuliko mafanikio hapa hashwa ukiangalia jinsi jamii hususani baaadhi ya watu wanavyotumia jina la vituo vya kulelea watoto kama kitega uchumi na kuwaacha watoto wamitaani wakiangaika na kurandaranda mabarabarani na sehemu mbalimbali na kukosa matunzo madhubuti. </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"><span> </span>Kumekuwa na matatizo ya vifo vya watoto chini ya miaka mitano(5)na wakina mama wajawazito hili bado hatujalitatua tunaimbilia kwenye sherehe.Sioni haja ya kusheherekea wakati bado tupo katika kiza kizito cha matatizo yetu.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Haijalishi ni wazazi ama walezi hapa haichagui ni mama ama baba kutelekeza mtoto au familia alafu unasheherekea aileti maana kwani unasababisha majanga makubwa kwa mtoto pia kumuathiri kisaikolojia kwani kuwepo kwake mtaani ni kupoteza haki yake ya kuishi kwa furaha kama mtoto.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Kitu haswa cha kujiuliza ni jinsi gani tutaondokana na haya matatizo yasiyo kuwa ya<span>  </span>lazima na kuunda sera madhuuti uhusu familia ambapo wazazi watatakiwa kuwalea watoto wao na uwapatia mahitaji yote uhimu ikiwa ni paoja na wazazi utotengana ili kusaidia malezi na makuzi ya watoto kwani kutengana kwa wazazi ndio kunakopelekea uharibika kwa familianyingi.</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-size:18pt;"><span style="font-family:Times New Roman;">Mpango wa uzazi ni jambo la kuzigatiwa katika jamii zote. </span></span></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/19/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=19&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/siku-ya-familia-duniani-matatizo-kama-changamotoyanayotukabiri/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>Tarehe 8 March, alama muhimu ya ukombozi</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/tarehe-8-march-alama-muhimu-ya-ukombozi-2/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/tarehe-8-march-alama-muhimu-ya-ukombozi-2/#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 17 May 2008 07:10:20 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
		<category><![CDATA[Add new tag]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=18</guid>
		<description><![CDATA[Tarehe 8 March, alama muhimu ya ukombozi Na, Stumai George Siku ya wanawake duniani huadhimishwa tarehe nane (8), ya mwezi wa tatu (3 )kila mwaka. Ni siku ya kimataifa ambayo wanawake huzungumzia mafanikio na changamoto mbalimbali zinazohusu masuala ya uchumi, siasa na utamaduni. Asili ya siku hii ni katika nchi za kisovieti ambapo wanawake waliungana [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=18&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Impact;"><span style="font-size:small;">Tarehe 8 March, alama muhimu ya ukombozi</span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Impact;"><span style="font-size:small;"><strong><span style="font-family:Times New Roman;">Na, Stumai George </span></strong></span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Impact;"><span style="font-size:small;"><span style="font-family:Times New Roman;">Siku ya wanawake duniani huadhimishwa tarehe nane (8), ya mwezi wa tatu (3 )kila mwaka. Ni siku ya kimataifa ambayo wanawake huzungumzia mafanikio na changamoto mbalimbali zinazohusu masuala ya uchumi, siasa na utamaduni.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"><span id="more-18"></span></span></p>
<p><span style="font-family:Impact;"><font size="3"></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Asili ya siku hii ni katika nchi za kisovieti ambapo wanawake waliungana kupinga unyonyaji katika maeneo ya kazi na uzalishaji mali kwenye miaka ya 1900. mazingira ya kazi yaliwawia vigumu wanawake kwani walilazimika kutumia muda mwingi zaidi ya masaa kumi na nane (18) yakiambatana na malipo duni kupita kiasi yasiyoendana na nguvu kazi yao.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Mbali na hilo, siku hii pia ni matokeo ya madai ya wanawake katika kupatiwa haki zao za kimsingi kama vile kupiga kura na kukomesha ajira kwa watoto. Mwaka 1911 katika nchi za Denmark, Ujerumani na Uswizi waliandamana mitaani kupinga vitendo hivyo vya kinyama dhidi ya wanawake na watoto.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Siku hii ina umuhimu mkubwa kwa wanawake wa sehemu mbalimbali duniani, kwani huwakumbusha na kuwahamasisha kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo ambayo ndio mkombozi wao kutoka katika mgandamizo wa mambo mbalimbali ukiwemo mfumo dume. Wanawake hupata nafasi ya kuueleza na kuukumbusha ulimwengu juu ya haki na mahitaji yao ya kila siku hasa katika yale muhimu wanayonyimwa fursa.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Hapa nchini, siku hii imekuwa ikisheherekewa kwa namna mbalimbali. Wanawake huandaa vazi hasa ya kitenge yenye ujumbe wa siku hii na maandamano hadi maeneo ambayo kilele cha maadhimisho hufanyika. Mgeni rasmi hualikwa na wanawake hutoa changamoto zinazowakabili katika maeneo mbalimbali kwenye nyanja tofauti.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Harakati za ukombozi wa wanawake zinahitaji hamasa kubwa ili zifikie lengo. Siku ya wanawake duniani, ni moja ya tukio muhimu kwa wanawake kwani huwapa elimu kubwa na mawazo mapya ya harakati zao. Wanawake hujifunza kutoka kwa wenzao ujasiri wa kusimamama imara katika kupigania kile kilicho haki yao. Hujifunza kuvunja ukimya na kuondoa “inferiority complex”. Hutoa sauti ambayo inapenya masikioni mwa jamii zote duniani kupitia vyombo vya habari mbalimbali.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Kwa hakika siku hii ina mafanikio mengi tu kwa wanawake. Matukio yanayofanyika katika siku hii, toka kuanzishwa kwake, yamefanikisha kuongeza idadi ya wanawake wasomi ulimwenguni. Pia ushiriki wa wanawake katika masuala ya siasa umeongezeka kwa kiasi kikubwa kufikia hatua ya wanawake kushika nyadhifa kuu katika sekta mbalimbali.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Wanawake wengi wamepata hari ya kujitambua na kuamka katika shughuli mbalimbalui za uchumi, siasa na utamaduni. Kwa msaada wa siku ya wanawake duniani, fursa mbalimbali za elimu, kazi na maendeleo kwa ujumla zimekuwa zikipatikana. Wanawake wamekuwa wakikemea maovu yanayofanywa na jamii dhidi yao na kuamsha fikra serikali katika kuweka mikakati madhubuti kukomesha ugandamizaji.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Kila penye mafanikio hapakosi changamoto kama ilivyo kwa siku hii ya wanawake duniani. Mojawapo ya changamoto ni kutokukubalika na kutopewa kipaumbele kama siku nyinginezo za kimataifa. Ni katika nchi chache kama china, Algeria, cuba na urusi ambapo siku hii inapewa uzito na kuwa ya mapumziko kikazi ili wanawake wapate muda wa kutosha kusheherekea siku hiyo.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Katika nchi nyingine kama Tanzania, siku hii inatambulika lakini si kwa kiasi cha kupata nafasi ya mapumziko ya kikazi. Jambo hili hupunguza nguvu kazi katika siku hii kwani baadhi ya washiriki hukosa nafasi ya kuisheherekea siku hii. Pia kuna nchi ambazo siku hii haitambuliki kabisa hivyo kuwanyima wanawake wengi haki yao ya msingi ya kupigania maslahi yao.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Kwa kiasi fulani siku hii ianpoteza nguvu yake ya kisiasa, kwani baadhi ya jamii zimeanza kuichukulia siku hii kama nafasi ya kuonyesha upendo kwa wanawake hasa wanaume. Jambo hili linaifanya siku hii kupoteza uhalisia wake na kufanana na valentine au siku ya mama duniani. Hili si lengo la siku hii. Asili ya siku hii haisemi hivyo. Hii ni siku ya harakati za ukombozi wa mwanamke hasa katika masuala ya msingi ya uchumi na siasa.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Sina maana ya kukataza kuonyeshwa upendo kwa wanawake katika siku hii, la hasha! Ni kwamba, haileti maana kumpa maua mwanamke wakati unamnyima fursa ya elimu, kufanya kazi na kushiriki katika masuala ya siasa. Unamnyima haki ya umiliki alafu unampa maua.</span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;"> </span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Times New Roman;">Wito kwa wanawake kufanyia kazi ujumbe na elimu itolewayo katika siku hii. Pia kwa baadhi ya jamii hasa wanaume kuacha kuichukulia siku hii kama tukio la kupoteza muda miongoni mwa wanawake. Maendeleo mwanamke ni maendeleo ya wa jamii nzima, Taifa na Dunia kwa ujumla. <span> </span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"> </p>
<p></font></span></span></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"> </p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"> </p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Impact;"></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Impact;"></span></p>
<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Impact;"></span></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/18/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=18&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/tarehe-8-march-alama-muhimu-ya-ukombozi-2/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>Tarehe 8 March, alama muhimu ya ukombozi</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/tarehe-8-march-alama-muhimu-ya-ukombozi/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/tarehe-8-march-alama-muhimu-ya-ukombozi/#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 17 May 2008 07:04:19 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
		<category><![CDATA[Add new tag]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=17</guid>
		<description><![CDATA[<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=17&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p class="MsoNormal" style="margin:0;"><span style="font-family:Impact;"></span></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/17/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=17&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/05/17/tarehe-8-march-alama-muhimu-ya-ukombozi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>Hawa nao pia tuwaiteje?</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/25/hawa-nao-pia-tuwaiteje/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/25/hawa-nao-pia-tuwaiteje/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 25 Feb 2008 06:53:17 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=16</guid>
		<description><![CDATA[ Na Hilder Mwaipopo. Nimambo ya kushangaza ukiyatazama kwa macho ya kawaida kwa mtu mwenye akili zake timamu, lakini ni yakawaida baina ya wakazi wa sehemu ama pembezoni mwa barabara au sehemu yanapopaki magari makubwa yabebayo mizigo maarufu kama Trans goods ambapo kuona wanawake ama wasichana wadogo wakijihusisha   katika mapenzi na madereva wa magari hayo bila [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=16&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> Na Hilder Mwaipopo.</span></p>
<p><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"></span></p>
<p><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Nimambo ya kushangaza ukiyatazama kwa macho ya kawaida kwa mtu mwenye akili zake timamu, lakini ni yakawaida baina ya wakazi wa sehemu ama pembezoni mwa <span id="more-16"></span>barabara au sehemu yanapopaki magari makubwa yabebayo mizigo maarufu kama Trans goods ambapo kuona wanawake ama wasichana wadogo wakijihusisha<span>   </span>katika mapenzi na madereva wa magari hayo bila hata ya woga ama aibu ni kitendo au ni jambo la kawaida kabisa katika mazingira yao,na<span>  </span>mwishowe kupata mimba za utotoni ama magonjwa ya zinaa.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> </span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Hivi karibuni nilipata wasaa wa kuwatembelea jamaa zangu katika mkoa jirani ilipofika nyakati za jioni nilipata fursa ya kutembelea sehemu ili kujipumzisha kwa jua la mchana ndipo nilipokutana na kizaazaa hiki cha kundi la akina dada na wengine wakiwa ni wakina mama au wanawake watu wazima.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> </span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Wanawake hao wakiwa ni kutoka sehemu mbalimbali za mikoa ya Tanzania huko hujulikana kama wanawake wa barabarani, ambapo wamekwisha kuweka makao yao katika miji na vijiji vilivyopo pembezoni mwa barabara ya Dar es salaam-Morogoro –Mbeya mpaka Zambia na sehemu ambapo magari hayo makubwa yanapopaki. na kuendeleza maisha yao ya biashara za kujiuza na wakati wakiendelea kuzaana na kuambukizana magonjwa ya zinaa na Ukimwi.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> </span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Nilipojaribu kuongea na kumuuliza mmoja wao kwamba walikuwa wakitafuta nini mbona wamekuja kwa wingi aliniambia kwa kifupi kwamba walikuwa kazini na wanatafuta riziki.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Sikulidhika na maelezo hayo ndipo nilipopata shauku la kujua kulikuwa na nini kilichoendelea katika mazingira hayo ndipo nilipogundua kuwa kuna biashara haramu ya kujiuza katika mazingira hayo ambapo wanaume madereva na matingo wao ndio walikuwa wateja wakuu wa biashara hiyo inayopigwa vita nchini, na walikuwa wakifanya ngono pasipo hata kutumia kondomu kwani mara utumiapo kinga hiyo dau lako hupungua.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> </span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Sikuchoka kuwafuatilia watu hao walipokuwa wakiendelea na shughuli hiyo ya kuwinda na kusaka ridhiki, ndipo waliponionya na kusema kuwa hawapendi kufuatiliwa kabisa katika shughuli zao na masuala yao hayo kwani ni binafsi na kama serikali ingekuwa na upendo au kuwajali wao basi wangeanza kufuatilia kwanza sakata la Richmond lililopo mbele yao,kuliko kufuatilia zaidi mambo yao hayo, na kunitaka niondoke kwani hawatasita kunifanyia kitu kibaya.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> </span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Kisingizio kikubwa hapa ni kwamba maisha magumu na hawana njia nyingine ya kujiajiri ila kwa njia hiyo kwani hawakuwa na elimu ya kutosha ya kuwafanya wapate ajira za maofisini.lakini jambo la kujiuliza ni kwamba je kipi bora kati ya kutatua tatizo ama kukimbia tatizo, wengi wa wasichana hao huishia kupewa ahadi za kuolewa ama kujengewa nyumba lakini matokeo yake ni kuambukizwa magonjwa ya zinaa na kupelekea vifo na ongezeko la watu waliathirika na magonjwa hayo hatari na kupelekea ongezeko la watu tegemezi katika nchi yetu.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> </span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Chakushangaza ni jinsi watu hao walivyo na ushirikiano katika mambo yao ya uwindaji, cha kujiuliza ni kwamba kama wameweza kushirikiana katika mambo yao hayo kwanini wasiweze kushirikiana katika shughuli nyingine za kimaendeleo kuliko kuishia kufa na kupoteza nguvu ya taifa. Je watoto wako wanaokuona ukifanya mambo hayo yupo katika malezi gani au utamkanya asiwe na tabia mbaya mara awapo mtu mzima au ndo tayari umekwisha muwekeza katika kazi hiyo ya kuhatarisha maisha.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> </span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">“Mtoto wa mwenzio ni wako” ndivyo kauli mbiu isemavyo lakini ni kinyume kabisa na mazingira ya huko kwani msemo huo kule ni kinyume“Mtoto wa mwenzio ni mkubwa mwenzio” huo ndio utofauti uliokuwepo huko na cha kushangaza ni kwamba hakuna haki za watoto wala binadamu kila mtu ana amua anachotaka sheria mkononi.</span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';"> </span><span style="font-size:16pt;font-family:'Times New Roman';">Serikali na wadau wengine wajaribu kushughulikia jambo hili kwa kasi kwani mpaka sasa hali ni mbaya na watu wanazidi kuathirika na pia hakuna elimu kuhusu kujikinga na Ukimwi na kuishi kwa matumaini.</span><span style="font-size:16pt;"><font face="Times New Roman"> </font></span></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/16/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=16&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/25/hawa-nao-pia-tuwaiteje/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>Watoto yatima wasifanywe vitega uchumi.</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/watoto-yatima-wasifanywe-vitega-uchumi/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/watoto-yatima-wasifanywe-vitega-uchumi/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 21 Feb 2008 09:08:47 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=14</guid>
		<description><![CDATA[Na Hilder Mwaipopo Ni jambo la kawaida siku hizi kusikia fulani ameanzisha kituo cha kulelea watoto yatima. Vituo hivi hupata misaada kutoka kwa watu mbalimbali kwa kuamini kwamba misaada hiyo itasaidia kweli kuwahudumia watoto hao. Matokeo yake, misaada hii imekuwa ikitumiwa vibaya na kutonufaisha watoto waliolengwa. Misaada mingi inayotolewa kwa ajili ya watoto wa vituo [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=14&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Na Hilder Mwaipopo</p>
<p>Ni jambo la kawaida siku hizi kusikia fulani ameanzisha kituo cha kulelea watoto yatima. Vituo hivi hupata misaada kutoka kwa watu mbalimbali kwa kuamini kwamba misaada hiyo itasaidia kweli kuwahudumia watoto hao.<span id="more-14"></span></p>
<p>Matokeo yake, misaada hii imekuwa ikitumiwa vibaya na kutonufaisha watoto waliolengwa. Misaada mingi inayotolewa kwa ajili ya watoto wa vituo hivi, hutumika kuendeleza miradi ya waendeshaji huku watoto wakiachwa na mahangaiko.</p>
<p>Vituo vingi unakuta vipo katika mazingira mabaya na kuwa ni dalili za wazi za namna watoto wanaolelewa hapo kuwa katika hali mbaya kimaisha. Watoto wa vituo kama hivi, wanakosa huduma muhimu za kila siku, wanakosa elimu na tiba. Mustakbali wa maisha yao unakuwa mashakani na mwisho watoto huamua kutoroka vituoni na kuzagaa mitaani wakiomba.</p>
<p>Kukosekana kwa mahitaji muhimu vituoni mwao kama vile malazi, makazi, viwanja vya michezo na huduma muhimu nyinginezo ikiwemo afya, ni moja ya sababu zinazowatorosha watoto yatima.</p>
<p>Nakumbuka Serikali imewahi kufunga baadhi ya vituo vya kulelea watoto kwa sababu ya mazingira mabaya yaliyokutwa kwenye vituo hivyo. Mazingira machafu ya vituo vingi huzaa magonjwa ambayo hatimaye huathiri watoto wanaolelewa hapo.<br />
Lakini wakati hali kwenye vituo vya kulelea watoto ndivyo ilivyo, kila siku watoto wanaohitaji msaada wa malezi wanaongezeka mitaani. Jamii na Serikali kwa ujumla imetakiwa kuchukua jukumu na hatua za haraka na muhimu ili kuweza kunusuru watoto dhidi ya matatizo yanayowakuta.</p>
<p>Kuongezeka kwa watoto hawa kunatokana na mambo mengi, lakini makubwa ni migogoro na matatizo yasiyo ya lazima yanayozikumba familia, kutengana kwa wazazi na kutelekezwa kwa wanawake wengi baada ya kupata mimba.</p>
<p>Mengine yamekuwa yakiwapata ikiwa ni pamoja na kukosa elimu, makazi na malezi bora, kudhalilishwa wawapo peke yao na kukosa huduma za afya, chakula na kutumikishwa kama vibarua huku wakipewa mishahara midogo na waajiri.</p>
<p>Inasikitisha kukuta kwamba baadhi ya watoto wanatoroka makwao kwa sababu tu wanateswa na wazazi wao kwa kunyimwa chakula na uhuru wa kujumuika na watoto wenzao.</p>
<p>Maendeleo ya mtoto yatima yanahitaji msaada wa jamii. Hata hivyo, jamii inapaswa kupima majukumu ya mtoto katika ushirikishwaji huo ili apate fursa ya kufurahia utoto wake bila ya kuzidiwa na majukumu hayo.</p>
<p>Kutokana na malezi kuachiwa kundi fulani tu katika jamii, hasa akina mama, kumekuwa na vitendo vya unyanyasaji mpaka kusababisha wengi wa watoto, kubakwa, kulawitiwa  na kupigwa hata kufa.</p>
<p>Vitendo kama hivi mara nyingi vimekuwa vikichangia maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa watoto wengi. Jamii ingechukulia uzito suala la watoto yatima, basi hata kasi ya maambukizi haya ingepungua. Kuwaachia majukumu hayo wazee wasiojiweza kumefanya watoto yatima kuongezeka.</p>
<p>Watanzania wote tungejipanga upya kufuata uzazi wa mpango ili kuzuia tatizo hili kubwa. Serikali pia iwaangalie wale wanaoendesha vituo na malezi kwa watoto yatima wapewe maeneo ili wajenge majengo imara na yanayoleta mazingira mazuri ya maisha ya watoto husika.</p>
<p>Tunapojadili mada hii tunapaswa kuishabihisha na mantiki ya malezi bora kwa watoto wetu. Wakati taifa linaadhimisha miaka 46 ya kuondokana na kutawaliwa, kuna haja ya kila mtu kutimiza wajibu wake katika kutatua tatizo hili.</p>
<p>Lazima watoto wanaohitaji msaada kwa sababu wazazi wao wamefariki dunia au waliwatelekeza ikiwemo kuwatupa, wahudumiwe kama wanavyohudumiwa watoto wenzao walio bado na wazazi wao. Ni haki ya watoto hao nao kuishi na kupata elimu ya kuwajengea hatima yao.</p>
<p>Kuna matatizo mengi yanayosumbua jamii hasa vifo vya watoto kabla hata ya umri wa miaka miwili, kwa akina mama wajawazito, huduma duni kwenye zahanati na hospitali zetu hasa zilizoko maeneo ya vijijini pamoja na ongezeko la watoto yatima.</p>
<p>Tatizo kama hili litakua kama halikuondolewa. Kuongezeka kwa matatizo ya watu, ni kuleta balaa katika jamii. Umasikini utaongezeka penye watu wengi wenye matatizo ya kijamii. Matatizo ya kijamii huzaa watoto wanaohitaji msaada. Umasiniki huzidi.</p>
<p>Serikali pamoja na jamii kwa ujumla wake, wanapaswa kuwa mstari wa mbele kuhakikisha misaada inayotolewa kwa waendeshaji vituo vya malezi ya watoto yatima, inatumika kwa kuwahudumia walengwa. Pale waendeshaji wanapojinufaisha, kuchukuliwe hatua kuwadhibiti.</p>
<p>Mtanzania popote ulipo, tambuwa kwamba huwezi kuwa huru kamili, iwapo mahali fulani kuna raia mwenzako anaishi katika matatizo kwa sababu tu hana uwezo. Tatizo la raia mmoja, litambuwe kama tatizo lako na hivyo saidia kuliondoa.</p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/14/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=14&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/watoto-yatima-wasifanywe-vitega-uchumi/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>Ndoa za kulazimishwa kwa faida ya nani</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/ndoa-za-kulazimishwa-kwa-faida-ya-nani/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/ndoa-za-kulazimishwa-kwa-faida-ya-nani/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 21 Feb 2008 08:37:02 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=13</guid>
		<description><![CDATA[Na Hilder Mwaipopo  Kila kukicha, matatizo yanayoikumba jamii yanaongezeka, hususani kwa akina mama ama wasichana wa jamii mbalimbali hapa nchini. Mojawapo kubwa ni hili la wasichana wadogo kilazimishwa kuolewa na kukatishwa masomo yao. Mbaya zaidi, wasichana hao huozeshwa kinyume na matakwa yao, na kuwasababishia athari za kisaikolojia huku wakiwabebesha majukumu mazito ya kulea familia yasiyoendana [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=13&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Na Hilder Mwaipopo </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Kila kukicha, matatizo yanayoikumba jamii yanaongezeka, hususani kwa akina mama ama wasichana wa jamii mbalimbali hapa nchini. Mojawapo kubwa ni hili la wasichana wadogo kilazimishwa kuolewa na kukatishwa masomo yao.<span id="more-13"></span></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><span><font size="2" face="Courier New"></font></span></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Mbaya zaidi, wasichana hao huozeshwa kinyume na matakwa yao, na kuwasababishia athari za kisaikolojia huku wakiwabebesha majukumu mazito ya kulea familia yasiyoendana na umri wao.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Ndoa hizo husababisha hasara kubwa kwa taifa na familia kwa ujumla, ambapo wengine hukatizwa masomo yao hasa wale wa shule za msingi, hali hii husababisha idadi ya wanawake wasio na elimu kuongezeka hivyo kusababisha harakati za maendeleo kudumaa na kuwa ngumu zaidi.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Vitendo hivi vya kinyama vimekuwa vikifanywa na baadhi ya watu wakiwamo viongozi wa serikali. ambao pia wamekuwa mstari wa mbele kuwaoza vijana hao, eti kwa sababu ya mila, desturi na utamaduni.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Wakati wao ndio wanaohimiza ujenzi wa shule kwa ajili ya kuongeza<span>  </span>idadi ya wasomi, na kuinua kiwango cha elimu ya juu nchini. Je shule hizo zinazojengwa wanafunzi wako wapi, kama si hao mnaowaoza kwa lazima?</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Viongozi ndio hasa tunaowategemea katika kuongoza na kupigania haki za binadamu, na kukemea maovu katika jamii zetu, lakini kwa sasa ni tofauti kabisa kwani kumkuta kiongozi katika matukio ya uhalifu kama ujambazi na mengineyo ni jambo la kawaida kabisa.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Matukio ya kukatishwa masomo kwa wanafunzi hususani wa kike yamekuwa yakitokea sehemu mbalimbali hapa nchini, bila ya kujali ni eneo gani mijini ama vijijini, na kusababisha idadi ya wasomi kuendelea kudorora na kupungua kabisa.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Elimu ni haki ya kila raia, hivyo basi kumkatisha masomo mwananchi mmoja hasa msichana ni kosa la jinai kwani wasichana ni nguzo ya familia. kumuelimisha ni kuielimisha jamii ikizingatiwa mama ndiye mwalimu wa kwanza wengineo hufuata.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Hivyo basi unapomkatisha masomo una mpango gani na jamii yake, una ajenda gani na maendeleo ya familia hiyo ama unataka kuiteketeza jamii nzima.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Jamii imepewa jukumu la kumuelimisha mtoto wa kike na kuongeza idadi yao katika vyuo na taasisi za elimu za juu ili kuongeza wasomi akina mama na kuelimisha jamii, ukiangalia wasomi wanawake katika vyuo mbalimbali nchini hufanya vizuri zaidi na kusababisha ongezeko la wafanyakazi wenye ujuzi kwa sekta zote hivyo inapelekea kuinua uchumi na kupelekea maendeleo endelevu.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Changamoto mbalimbali za kielimu zimetolewa ili kuwapa hamasa na kipaumbele kwa wasichana hivyo basi wazazi na walezi wanashauriwa kuwaachia watoto wao kwenda shule badala ya kuwalazimisha kuolewa wangali na umri mdogo, hawajapevuka wala uwezo wa kuitunza familia. </font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Suala la kuoa ama kuolewa ni ihari ya mtu hivyo kumlazimisha msichana kuolewa pasi yeye kuamua ni kutomtendea haki tena ni kumnyima uhuru wake na haki yake ya maamuzi. pamoja na kumuweka katika kifungo cha maisha pasipo uhuru wala siku ya kufunguliwa kwake . </font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Ndoa kwa wasichana wadogo tena wa shule ni kuwasababishia vifo katika umri mdogo mara wafikiapo wakati wa kujifungua na matatizo mengine katika afya ya uzazi hivyo basi jamii imejiandaa vipi kupoteza raia hasa wasichana wadogo kwaajiri ya kuozeshwa na watu wasio na busara.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Haki ya kuishi<span>  </span>ni jambo la kuzingatiwa,hivyo basi kumuozesha mtoto mdogo yapaswa kufikishwa mahakamani mtu yeyote atakaye husika na ndoa hizo kuliko kuwaachia na kuogopa uwezo wao wa kifedha ama madaraka yao kitaifa.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Kutokana na tabia ya jamii kufumbia macho suala hili imepelekea kuongezeka kwa kiasi kikubwa ambapo imepelekea kuonekana ni cha kawaida kabisa na kusababisha watu kujichukulia maamuzi yao ya kuwakamata wasichana na kuwapeleka kwa waume hata kama hawataki.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Serikali kwa upande wake iwachukulie hatua za haraka watu wote wanaohusika na vitendo hivyo vya kinyama kwani hupelekea vifo kwa wasichana wakati wa kujifungua, na kuongezeka kwa idadi ya watu wasio na elimu nchini.hivyo kuongezeka kwa watu ambao ni tegemezi katika jamii na familia kwa jumla. </font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font><font size="2" face="Courier New"> </font><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><span><font size="2" face="Courier New"></font></span></p>
<p><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/13/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=13&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/ndoa-za-kulazimishwa-kwa-faida-ya-nani/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>Namlilia mwanamke na mtoto wa Kenya</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/namlilia-mwanamke-na-mtoto-wa-kenya-2/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/namlilia-mwanamke-na-mtoto-wa-kenya-2/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 21 Feb 2008 08:21:52 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=10</guid>
		<description><![CDATA[   Na Hilda Mwaipopo   Vita si jambo la kulifanyia mzaha au majaribio. Kuanzisha vita ni kazi rahisi sana na kupoteza amani ni jambo la sekunde lakini kitendo cha kuirudisha amani hiyo kinaweza kugharimu maisha yako yote.   Sisi akinamama na watoto ndio waathirika wakubwa wa madhara yaletwayo na vita. Wazungu husema ‘nothing wrong in [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=10&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><font size="2" face="Courier New"> <a href="http://kauliyamwanamke.files.wordpress.com/2008/02/maa-and-baby.jpg" title="Direct link to file"><img width="171" src="http://kauliyamwanamke.files.wordpress.com/2008/02/maa-and-baby.thumbnail.jpg?w=171&#038;h=113" alt="maa-and-baby.jpg" height="113" /></a></font><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New"></font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Na Hilda Mwaipopo</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Vita si jambo la kulifanyia mzaha au majaribio. Kuanzisha vita ni kazi rahisi sana na kupoteza amani ni jambo la sekunde lakini kitendo cha kuirudisha amani hiyo kinaweza kugharimu maisha yako yote.<span id="more-10"></span><!--more--></font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Sisi akinamama na watoto ndio waathirika wakubwa wa madhara yaletwayo na vita. Wazungu husema ‘nothing wrong in love and war,’ msemo unaotokana na dasturi zilizomo kwenye mambo hayo mawili. Kwa mfano, wakati wa vita, vitendo vya ubakaji, ukiacha mbali mauaji na mateso mengineyo, hututokea sisi wanawake na watoto na hivyo, mbali ya wale wanaopoteza maisha na mali, wanaobakia hai huahiwa mzigo wa matatizo ya kisaikolojia, na maambukizo ya magonjwa ya zinaa.</font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><span><font size="2" face="Courier New"></font></span></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Nazungumzia hayo katika wakati ambapo jirani zetu wa Kenya wanaserereka kuelekea kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe, ikiwa hali haitadhibitiwa kwa hatua za kisiasa na mapema. Kenya, nchi iliyokuwa haijapata kuonja maafa kama hayo kwa muda wote wa historia yake ya uhuru, na taifa lililokuwa nma uchumi mkubwa katika Afrika Mashariki nzima, sasa limejikuta likigawanyika kwa fitina za kisiasa, ambazo zinalazimishwa zionekane za kikabila. Punde nchi hii itakuwa imepoteza nguvu kazi yake na hivyo kusababisha kuporomoka kwa uchumi wake na wetu, majirani zake. Katikati ya hayo, namfikiria mwanamke na mtoto wa Kenya. Ana hali gani hivi sasa?</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Kuendekeza usemi kwamba amani haiji ila kwa ncha ya upanga kunaweza kupoteza kila kitu ambacho Kenya ilikwishajijengea kwa miaka mingi sasa. Kwa wale wanaoupenda msemo huu, wanaweza kujikuta wamepotza hata ndugu, jamaa na familia kwa ujumla hivyo. Hadhari ni kwetu, kwamba tuangalie mara mbili mbili na kujiuliza itakuwaje kwa wale ndugu zetu, akina mama wajawazito, watoto, wazee, walemavu na wengine ambao hawajiwezi: watakwenda wapi endapo vita vitaendelea kuwatafuna?</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Watu wanaoanzisha vita ama vurugu hizo hukaa pembeni na kuwaacha wengine wakitaabika, wakati wao wakikimbilia uhamishoni na kurudi pindi hali inapokuwa shwari. Swali la kujiuliza ni kwamba ikiwa unaanzisha vita halafu unakimbia, ni nani apigane kwa ajili yako?</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Bila ya shaka demokrasia si ghasia na pia kila mtu ana haki ya kuchagua ama kuchaguliwa. Haki ya mtu haichukuliki hata kwa upanga. Uamuzi wa kuchukua madaraka kwa nguvu ndiyo yanayosababisha maafa kwa jamii zetu.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Viongozi wa Kiafrika wanapaswa kukumbushwa kwamba kila jambo na wakati wake. Wananchi ndio waamuzi wa kila kitu kufuatia kukuchagua au la, lakini kitendo cha kuchukua madaraka kimabavu, matokeo yake ni wananchi wasio na hatia kufa.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Mafahari wawili wapiganapo, nyasi ndizo huumia. Viongozi wetu wanapaswa kuelewa hilo kuliko kusababisha majanga yasiyo na lazima kama yanayoendelea Kenya hivi sasa.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Mwanamke, akiwa na majukumu mengi katika jamii na taifa kwa ujumla, anajikuta katika matatizo makubwa zaidi, kwani ili kukimbia hali ya hatari kama vita au machafuko yoyote, atapaswa kubeba mizigo, watoto na kufikiria ni jinsi gani ya kufika salama huko anakokimbilia.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Matatizo yote anaachiwa mwanamke kama muangalizi. Mwanamme anakimbia pekee na kusahau kama ana watoto. Anatokomea kusikojulikana, pasi na hata kuchukua jukumu la kumsaidia mkewe. Pia muda huu wa kukimbiakimbia kwa kuogopa vita, unasababisha kuporomoka kiuchumi na kuendelea kuenea kwa wimbi kubwa la umaskini. </font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<p style="margin:0;" class="MsoPlainText"><font size="2" face="Courier New">Basi ni lazima tufikie kipindi ambapo tutasema basi na vurugu na kuamua kutatua migogoro yetu kistaarabu pasipo na kupigana ama kuuana, kwani sisi wenyewe ndio tunaojirudisha nyuma kimaendeleo na hao mataifa mengine wanatutumia sisi kuuza silaha zao, wakati sisi wanandugu tunauana wenyewe kwa wenyewe. Tuwasaidie Wakenya kuiona busara.</font></p>
<p><font size="2" face="Courier New"> </font><font size="2" face="Courier New"> </font><font size="2" face="Courier New"> </font></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/10/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=10&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/21/namlilia-mwanamke-na-mtoto-wa-kenya-2/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>

		<media:content url="http://kauliyamwanamke.files.wordpress.com/2008/02/maa-and-baby.thumbnail.jpg" medium="image">
			<media:title type="html">maa-and-baby.jpg</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>Kisingizio cha pato kisilete ukahaba</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/20/kisingizio-cha-pato-kisilete-ukahaba/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/20/kisingizio-cha-pato-kisilete-ukahaba/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 20 Feb 2008 08:42:07 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=9</guid>
		<description><![CDATA[Na Hilder Mwaipopo Kwa kawaida mtu anapoamua kufanya kitu fulani ni lazima kuwepo na sababu zinayomfanya ama kumpelekea mtu huyo kufanya jambo hilo iwe ni makusudi au kwa bahati mbaya. Cha kushangaza ni vitendo vya baadhi ya akina mama na mabinti wadogo, wengine ni wanafunzi, kuzunguka usiku wa manane, na wengine wakiwa na watoto migongoni [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=9&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><font size="2">Na Hilder Mwaipopo</p>
<p>Kwa kawaida mtu anapoamua kufanya kitu fulani ni lazima kuwepo na sababu zinayomfanya ama kumpelekea mtu huyo kufanya jambo hilo iwe ni makusudi au kwa bahati mbaya.<span id="more-9"></span></p>
<p>Cha kushangaza ni vitendo vya baadhi ya akina mama na mabinti wadogo, wengine ni wanafunzi, kuzunguka usiku wa manane, na wengine wakiwa na watoto migongoni si kwamba hawana makazi ama wapo kwenye heka heka za vurugu bali eti ni kwa kujipatia ziada ili kuinua pato la familia wakiwa wao ndio tegemezi katika familia zao.</p>
<p>Ni majuzi tu wamekamatwa wanawake wapatao 50 kwa tuhuma za kujiuza usiku katika kona za Kinondoni. Wengi wao walikuwa wamevalia nguo zinazoonesha miili yao na wengine wakiwa na watoto mikononi mwao. Wanawake hao wasiokuwa na huruma wala nyuso za aibu wamejikuta katika mikono ya Polisi na walipotakiwa wajieleze wanafanya nini kwa wakati ule, ndipo wengine walipodai wanapunga upepo wakati wengine wakijijtetea kwamba wanatafuta chakula.</p>
<p>Lakini jambo la kujiuliza ni kwamba, je kazi hiyo ni sahihi kujiuza na wakati unaye mtoto mgongoni? Ni kweli akina mama tumeshindwa kutumia muda na nguvu zetu ipasavyo na kujikuta tukifanya mambo yasiyofaa na kuwataabisha watoto nyakati za usiku?</p>
<p>Waume zetu ama familia zetu zinafahamu mambo haya. Mbona kuna kina mama wengi sasa wanauza chupa za maji zilizotumika, wanafagia barabara, na kazi nyingine na kupata kipato wametulia tu majumbani mwao na wala hawajihusishi na shughuli hizo ingawaje kipato ni kidogo? Wote tukifanya kazi hiyo itakuwaje? Je, tutafika katika anga za mafanikio?</p>
<p>Watoto wamekuwa wakiishi katika mazingira hayo mpaka wanapokuwa watu wazima, hivyo kuwasababishia kukumbana na mambo ya ajabu wangali katika umri mdogo. Mwishowe na wao kujiunga katika magenge na kupelekea ongezeko la watoto waishio katika mazingira magumu.</p>
<p>Tusikae na kuilaumu serikali na sisi tunajiingiza katika kazi za laana na kusababisha wengi wetu kuishia katika magonjwa ya zinaa na Ukimwi pasipo kufikiria ni jinsi gani tutakaowaacha watakavyotaabika kutokana na mazingira tuliyoyajenga wenyewe. Wahenga walisema ‘mkataa pema pabaya panamwita.’ Sasa wazazi tusiwasababishie watoto waishi katika mazingira hayo mabaya.</p>
<p>Lazima tukae na kuangalia ni njia gani tunapaswa kuiendea. Si kufanya kitu kwa kuangalia mafanikio tu. Mama kama nguzo katika familia akiamua kujiingiza katika biashara ya uchangudoa basi hata kuwa na heshima tena ya kumuonya mwanawe kuhusiana na majambo ama tabia mbaya yoyote anayoiendea mwanawe.</p>
<p>Hivyo, basi lazima jamii ibadilike na kuamua kuachana na tabia hizo mbaya na kuchukua uamuzi thabiti wa kuepukana na tabia za ajabu zinasoweza pelekea madhara kwa taifa kwa ujumla ikiwa ni ongezeko la watu wasio na kazi mitaani, na kupelekea anguko la kiuchumi.</p>
<p></font></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/9/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=9&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/20/kisingizio-cha-pato-kisilete-ukahaba/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>
	</item>
		<item>
		<title>Namlilia mwanamke na mtoto wa Kenya</title>
		<link>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/20/namlilia-mwanamke-na-mtoto-wa-kenya/</link>
		<comments>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/20/namlilia-mwanamke-na-mtoto-wa-kenya/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 20 Feb 2008 08:31:00 +0000</pubDate>
		<dc:creator>kauliyamwanamke</dc:creator>
				<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://kauliyamwanamke.wordpress.com/?p=7</guid>
		<description><![CDATA[Na Hilder Mwaipopo Vita si jambo la kulifanyia mzaha au majaribio. Kuanzisha vita ni kazi rahisi sana na kupoteza amani ni jambo la sekunde lakini kitendo cha kuirudisha amani hiyo kinaweza kugharimu maisha yako yote. Sisi akinamama na watoto ndio waathirika wakubwa wa madhara yaletwayo na vita. Wazungu husema ‘nothing wrong in love and war,’ [...]<img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=7&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><font size="2"><a href="http://kauliyamwanamke.files.wordpress.com/2008/02/kauli-ya-mwanamke.jpg" title="kauli-ya-mwanamke.jpg"><img src="http://kauliyamwanamke.files.wordpress.com/2008/02/kauli-ya-mwanamke.thumbnail.jpg?w=468" alt="kauli-ya-mwanamke.jpg" /></a></p>
<p>Na Hilder Mwaipopo</p>
<p>Vita si jambo la kulifanyia mzaha au majaribio. Kuanzisha vita ni kazi rahisi sana na kupoteza amani ni jambo la sekunde lakini kitendo cha kuirudisha amani hiyo kinaweza kugharimu maisha yako yote.<span id="more-7"></span></p>
<p>Sisi akinamama na watoto ndio waathirika wakubwa wa madhara yaletwayo na vita. Wazungu husema ‘nothing wrong in love and war,’ msemo unaotokana na dasturi zilizomo kwenye mambo hayo mawili. Kwa mfano, wakati wa vita, vitendo vya ubakaji, ukiacha mbali mauaji na mateso mengineyo, hututokea sisi wanawake na watoto na hivyo, mbali ya wale wanaopoteza maisha na mali, wanaobakia hai huahiwa mzigo wa matatizo ya kisaikolojia, na maambukizo ya magonjwa ya zinaa.</p>
<p>Nazungumzia hayo katika wakati ambapo jirani zetu wa Kenya wanaserereka kuelekea kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe, ikiwa hali haitadhibitiwa kwa hatua za kisiasa na mapema. Kenya, nchi iliyokuwa haijapata kuonja maafa kama hayo kwa muda wote wa historia yake ya uhuru, na taifa lililokuwa nma uchumi mkubwa katika Afrika Mashariki nzima, sasa limejikuta likigawanyika kwa fitina za kisiasa, ambazo zinalazimishwa zionekane za kikabila. Punde nchi hii itakuwa imepoteza nguvu kazi yake na hivyo kusababisha kuporomoka kwa uchumi wake na wetu, majirani zake. Katikati ya hayo, namfikiria mwanamke na mtoto wa Kenya. Ana hali gani hivi sasa?</p>
<p>Kuendekeza usemi kwamba amani haiji ila kwa ncha ya upanga kunaweza kupoteza kila kitu ambacho Kenya ilikwishajijengea kwa miaka mingi sasa. Kwa wale wanaoupenda msemo huu, wanaweza kujikuta wamepotza hata ndugu, jamaa na familia kwa ujumla hivyo. Hadhari ni kwetu, kwamba tuangalie mara mbili mbili na kujiuliza itakuwaje kwa wale ndugu zetu, akina mama wajawazito, watoto, wazee, walemavu na wengine ambao hawajiwezi: watakwenda wapi endapo vita vitaendelea kuwatafuna?</p>
<p>Watu wanaoanzisha vita ama vurugu hizo hukaa pembeni na kuwaacha wengine wakitaabika, wakati wao wakikimbilia uhamishoni na kurudi pindi hali inapokuwa shwari. Swali la kujiuliza ni kwamba ikiwa unaanzisha vita halafu unakimbia, ni nani apigane kwa ajili yako?</p>
<p>Bila ya shaka demokrasia si ghasia na pia kila mtu ana haki ya kuchagua ama kuchaguliwa. Haki ya mtu haichukuliki hata kwa upanga. Uamuzi wa kuchukua madaraka kwa nguvu ndiyo yanayosababisha maafa kwa jamii zetu.</p>
<p>Viongozi wa Kiafrika wanapaswa kukumbushwa kwamba kila jambo na wakati wake. Wananchi ndio waamuzi wa kila kitu kufuatia kukuchagua au la, lakini kitendo cha kuchukua madaraka kimabavu, matokeo yake ni wananchi wasio na hatia kufa.</p>
<p>Mafahari wawili wapiganapo, nyasi ndizo huumia. Viongozi wetu wanapaswa kuelewa hilo kuliko kusababisha majanga yasiyo na lazima kama yanayoendelea Kenya hivi sasa.</p>
<p>Mwanamke, akiwa na majukumu mengi katika jamii na taifa kwa ujumla, anajikuta katika matatizo makubwa zaidi, kwani ili kukimbia hali ya hatari kama vita au machafuko yoyote, atapaswa kubeba mizigo, watoto na kufikiria ni jinsi gani ya kufika salama huko anakokimbilia.</p>
<p>Matatizo yote anaachiwa mwanamke kama muangalizi. Mwanamme anakimbia pekee na kusahau kama ana watoto. Anatokomea kusikojulikana, pasi na hata kuchukua jukumu la kumsaidia mkewe. Pia muda huu wa kukimbiakimbia kwa kuogopa vita, unasababisha kuporomoka kiuchumi na kuendelea kuenea kwa wimbi kubwa la umaskini.</p>
<p>Basi ni lazima tufikie kipindi ambapo tutasema basi na vurugu na kuamua kutatua migogoro yetu kistaarabu pasipo na kupigana ama kuuana, kwani sisi wenyewe ndio tunaojirudisha nyuma kimaendeleo na hao mataifa mengine wanatutumia sisi kuuza silaha zao, wakati sisi wanandugu tunauana wenyewe kwa wenyewe. Tuwasaidie Wakenya kuiona busara.</p>
<p></font></p>
<br /><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/categories/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /> <img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/tags/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gocomments/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/comments/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godelicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/delicious/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gofacebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/facebook/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gotwitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/twitter/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/gostumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/stumble/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/godigg/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/digg/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /></a> <a rel="nofollow" href="http://feeds.wordpress.com/1.0/goreddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/"><img alt="" border="0" src="http://feeds.wordpress.com/1.0/reddit/kauliyamwanamke.wordpress.com/7/" /></a> <img alt="" border="0" src="http://stats.wordpress.com/b.gif?host=kauliyamwanamke.wordpress.com&amp;blog=2921767&amp;post=7&amp;subd=kauliyamwanamke&amp;ref=&amp;feed=1" width="1" height="1" />]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://kauliyamwanamke.wordpress.com/2008/02/20/namlilia-mwanamke-na-mtoto-wa-kenya/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
	
		<media:content url="http://0.gravatar.com/avatar/25cc55080f8c9a2a61edf8273f277551?s=96&#38;d=identicon" medium="image">
			<media:title type="html">kauliyamwanamke</media:title>
		</media:content>

		<media:content url="http://kauliyamwanamke.files.wordpress.com/2008/02/kauli-ya-mwanamke.thumbnail.jpg" medium="image">
			<media:title type="html">kauli-ya-mwanamke.jpg</media:title>
		</media:content>
	</item>
	</channel>
</rss>
